Featured

    Featured Posts

Loading...

PICHA ZA SIRI ZA MAHABA ZA KAJALA ZAVUJA KUWA WA KWANZA KUZIONA HAPA LIVE!!


Staa wa Bongo Movie Kajala Masanja ambaye mpaka sasa inasemekana ukaribu wake yeye na Wema Sepetu bado wakusuasua kutokana na sababu iliofichika ,chanzo chetu cha kuaminika kimembamba Kajala akikosha nafsi yake baada ya kusingiziwa sana kuwa anachukuwa wanaume wa watu hivyo kajala amejibu mapigo kwa kujinyakulia kijana mdogo anaye tambulika kwa jina la ‘Medy’ kwa ajili ya kumkosha moyo.

20140719_231652 copy

Inasemekana kuwa kwa sasa Kajala ameonekana kuwa huru coz amempata mtu mbaye anauwezo wa kutokanae kwenda sehemu yeyote ile na kupeana mahaba kama unavyoona pichani huyu ndiye kajala wa sasa.

20140719_231535 copy
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SINGIDA KWETU
Back To Top