Featured

    Featured Posts

Loading...

TAARIFA YA KAMISHNA KOVA KWA WANANCHI

Kamishina Kova akizungumza na waandishi wa habari(hawapo pichani).
Baadhi ya vitu mbalimbali vilivyokamatwa na jeshi la polisi.
KAMISHNA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,  Suleiman Kova leo, ametoa taarifa maalum ya Jeshi la Polisi kuhusiana na mafanikio  katika utendaji wao wa kazi.
Kova ametoa taarifa  ya matukio yaliyojitokeza katika kipindi cha wiki mbili ikiwemo operesheni maalum ya kuzuia kupambana na matishio ya uhalifu jijini Dar es Salaam, mtandao wa uhalifu wanaotumia teknolojia ya mawasiliano (IT).
Kukamatwa kwa majambazi sugu wawili pamoja na SMG, kukamatwa kwa tiketi bandia 424 za mechi ya ngao ya hisani kati ya Yanga na Azam pamoja na  Kupatikana kwa silaha aina ya Pistol na risasi 6.
(Habari/Picha na Gabriel Ng’osha/GPL)
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SINGIDA KWETU
Back To Top