Featured

    Featured Posts

Loading...

VODACOM YAWEZESHA SEMINA YA DARAJA LA MAFANIKIO KWA VIJANA‏

Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (wa pili kutoka kulia) akifuatilia semina ya Daraja la Mafanikio iliyoandaliwa na American Chamber of Commerce (AMCHAM) kwa udhamini wa Vodacom Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kupitia semina hiyo, mamia ya vijana kutoka sehemu mbalimbali (pichani) walipatiwa ujuzi wa jinsi ya kuandika CV, barua za maombi ya kazi pamoja na ujuzi utakaowasaidia kutafuta kazi katika makampuni makubwa na yale ya kimataifa.
Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (kushoto) akisalimiana na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya American Chamber of Commerce (AMCHAM) Bakhti Shah alipohudhuria semina ya Daraja la Mafanikio iliyoandaliwa AMCHAM  kwa udhamini wa Vodacom Tanzania jijini Dar es Salaam leo. Kupitia semina hiyo, mamia ya vijana kutoka sehemu mbalimbali (pichani) walipatiwa ujuzi wa jinsi ya kuandika CV, barua za maombi ya kazi pamoja na ujuzi utakaowasaidia kutafuta kazi katika makampuni makubwa na yale ya kimataifa. Kulia ni Mkurugenzi wa Compass Communication Maria Sarungi Teshai.
Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Vodacom Tanzania, Kelvin Twissa (katikati) akifafanua  jambo wakati wa semina ya Daraja la Mafanikio iliyoandaliwa na American Chamber of Commerce (AMCHAM) kwa udhamini wa Vodacom Tanzania iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Kupitia semina hiyo, mamia ya vijana kutoka sehemu mbalimbali (pichani) walipatiwa ujuzi wa jinsi ya kuandika CV, barua za maombi ya kazi pamoja na ujuzi utakaowasaidia kutafuta kazi katika makampuni makubwa na yale ya kimataifa. Kushoto ni Mkurugenzi wa Empower, Miranda Naiman na kulia ni Mkurugenzi wa Kazi Services, Zuhura Muro.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SINGIDA KWETU
Back To Top