Featured

    Featured Posts

Loading...

MWANAFUNZI WA MZUMBE AJINYONGA HADI KUFA BAADA YA KUFELI MTIHANI



Usiku huu nimepokea taarifa za kusikitisha toka Mzumbe kutokana na kifo cha mwanafunzi aliyejinyonga baada ya kufeli....


Inasemakana kuwa Mwanafunzi huyo aliyekuwa anasoma Uchumi kwa ngazi ya Masters katika chuo hicho amejinyonga mpaka kufa baada ya matokeo kutoka jana na kuonyesha amefeli.

Taarifa toka eneo la tukio zimesema kwa sasa shughuli za mazishi zinaendelea nyumbani kwao Njombe

.................RIP.......................

By Jennifer Livigha
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SINGIDA KWETU
Back To Top