Featured

    Featured Posts

Loading...

SHILOLE: SIKUMPA PENZI BARNABA



Shilole akifanya mahojiano na Global TV Online.
  MAAJABU! Licha ya ulimwengu wa burudani Bongo kuamini kwamba staa wa Mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ aliwahi kuanguka dhambini kwa Mbongo-Fleva, Elias Barnaba, mwanadashosti huyo ameibuka na kudai kuwa hakuwahi kumpa penzi.Shilole anayetamba na Ngoma ya Nakomaa na Jiji, amefunguka hayo kupitia Global TV Online ambapo mahojiano hayo yatarushwa kwenye Mtandao wa Global leo, Jumatatu.
“Ukweli sikumpa penzi Barnaba, yule ni mshkaji tu…kama ni muziki hakunipiga tafu kama alivyonisaidia Q-Chillah …hahaha acha hizo bwana, Barnaba hakuwa mchumba wangu,” alisema Shilole.

Elias Barnaba.
Mbali na kumfungukia Barnaba kwenye kipindi hicho, Shilole amefunguka mambo mengi ambayo hajawahi kuyasema, hivyo ukitaka kupata uhondo zaidi, tembelea Mtandao wa  Global TV Online.
-GPL 
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SINGIDA KWETU
Back To Top