Featured

    Featured Posts

Loading...

YANGA YAONDOLEWA KWA MATUTA

 

 MICHEZO: Timu ya Yanga (Tanzania) imeondolewa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mikwaju ya penalti 4 - 3 baada ya timu hizo kufungana 1 - 1 kila moja ikipata bao nyumbani kwake.

Waliofunga penalti kwa Yanga ni Didier Kavumbagu, Nadir Haroub Canavaro na Emmanuel Okwi huku waliokosa ni Oscar Joshua, Said Bahanuzi na Mbuyu Twite.

Kwa matokeo hayo, Al Ahly inafuzu kuingia hatua ya 16 bora.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SINGIDA KWETU
Back To Top