Featured

    Featured Posts

Loading...

STEVE Nyerere nae Apanga Kujitosa Ubunge Jimbo la Kinondoni 2015.

steve nyerere

KOMEDIANI maarufu na Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amesema anatarajia kugombea na kushinda ubunge 2015 bila kutumia fedha.
Akitema madini mbele ya kinasa sauti cha Ijumaa Wikienda mwishoni mwa wiki iliyopita, Steve alisema atagombea kupitia Jimbo la Kinondoni, lakini ieleweke kuwa hatotumia fedha katika kampeni zake.

“Saundi (maneno) ndiyo kila kitu, ukiongea na watu vizuri na wakakuelewa, hakuna kitakachoshindikana, nitaibuka na ushindi mzito tu, vuteni subira watu wangu,” alisema Nyerere.


CREDIT:GPL
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SINGIDA KWETU
Back To Top