Featured

    Featured Posts

Loading...

KIWANDA CHA MOUNT MERU MKOANI SINGIDA CHAWAKA MOTO

 
Mkuu wa wilaya queen mlozi akifika eneo la tukio
kiwanda cha mount meru mkoani singida chawaka moto,moto ulianza saa 4 usiku mpaka asubuhi na bado ulikuwa unawaka mpaka kufikia mchana.akiongea na waandishi wa habari mkuu wa wilaya queen mlozi alisema alipata taarifa usiku na kuomba msaada kwa zima moto wa manyara ambao walifika saa moja asubuhi na  
 gali la zima moto na watu wakizima moto
kusaidiana na zima moto wa singida alisema chanzo cha moto ni kwamba mashudu huwa yakipata joto huwa yanawaka na pia baadhi ya mashuhuda wamesema moto ulikuwa mkubwa sana wamejitahidi lakini walizidiwa nguvu na zima moto la mkoa wa singida lilipofika lilikuwa peke yake na ni dogo wanaioomba serikali kuliangalia hili jambo maana singida nakuwa na viwanda vimekuwa vingi.
 
mfanyakazi wa zima moto akizima moto
 
wafanyakazi wa zima moto wakiendelea na juhudi za kuzima moto 
 
-HABARI NA MWANDISHI WA MO TV SINGIDA - DSAMMY
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SINGIDA KWETU
Back To Top