Featured

    Featured Posts

Loading...

MNYAMA FISI AUWAWA MCHANA KWEUPE SOKO KUU MJINI SINGIDA

 
Fisi akiwa ndani ya gali la polisi baada ya kuwawa na wananchi 
Katika hali isiyokuwa ya kawaida mnyama fisi alionekana maeneo ya soko kuu mjini singida na kuzua tafrani kwa wananchi,fisi huyu aikujulikana alipotokea bali wananchi walishitukia fisi yupo katikati ya mji maeneo ya soko kuu, hali iliyopelekea kuto fahamu kwa wananch,lakini wananchi walifanikiwa kumuua fisi huyo
-HABARI NA MWANDISHI WA MO TV - DSAMMY
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SINGIDA KWETU
Back To Top