Featured

    Featured Posts

Loading...

MAKONDA: SIKUVURUGA MKUTANO WA TAASISI YA MWALIMU NYERERE

Makonda akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani).…Akionyesha moja ya magazeti yaliyoandika vurugu za jana.Waandishi wa habari wakisikiliza taarifa ya Makonda (hayupo pichani).
(Patrick Bozohera na Gabriel Ng’osha/GPL)
KATIBU Mwenezi Idara ya Hamasa na Chipukizi ya UVCCM, Paul Makonda, amekana kuhusika katika vurugu zilizotokea jana katika  mdahalo wa Katiba Iliyopendekezwa ambao  ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere chini ya Mwenyekiti wake Joseph Butiku.


Hayo ameyasema leo  katika hoteli ya Protea, Osterbay, jijini Dar es Salaam alipokutana na waandishi wa habari.
Mkutano huo ulikumbwa na vurugu wakati aliyekuwa mwenyekiti wa kuratibu katiba mpya,  Jaji  Joseph Warioba,  alipokuwa akiwasilisha mada yake,  katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SINGIDA KWETU
Back To Top