Featured

    Featured Posts

Loading...

MZEE MANENTO WA BONGO MUVI ALIKIONA KIFO

KIFO hakina huruma! Wakati mwili wa aliyekuwa staa mkongwe wa sinema za Kibongo, David Manento ‘Mzee Manento’ (73) ukiagwa nyumbani kwake, Kigogo, Dar, wikiendi iliyopita na kusafirishwa kwenda mkoani Kilimanjaro kwa mazishi, mwanaye, Godfrey David Manento amesema ni kama mzee huyo alikiona kifo chake.

Picha tofauti zikionesha aliyekuwa staa mkongwe wa sinema za Kibongo, David Manento ‘Mzee Manento’ (73) enzi za uhai wake.
Godfrey alimwambia mwanahabari wetu: “Siku za mwisho za mzee wetu kama alikiona kifo kwa sababu alikuwa akisema jamani mimi naona kama sitapona.”

Mwili wa Mzee Manento ulitarajiwa kupumzishwa kijijini kwake, Mamba-Miamba wilayani Same, Kilimanjaro.

Mzee Manento ameacha watoto tisa akiwa ameigiza filamu nyingi zikiwemo Hero of the Church, Dar To Lagos na Fake Pastors.
author

This post was written by: Author Name

Your description comes here!

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana
© Copyright SINGIDA KWETU
Back To Top